Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki itaadhimisha siku hii kwa namna ya pakee. Kwanza ni kwa machapisho ya Kiswahili, pili ni Kongamano la Kiswahili litakalowakutanisha wataalamu na wadau wa lugha ya Kiswahili, na baada ya yote ni usiku wa Mswahili...hapa tutaona mavazi ya Mswahili na mambo mengine mengi ya kiutamaduni.
© 2021, East African Kiswahili Commission. All rights reserved.
Processing, please wait…